Header Ads

BUNGE LATEKETEA KWA MOTO

 


Breaking news kutoka Capetown South Africa. Vyombo mbalimbali vya habari nchini South Africa vinaripoti habari ya kutokea kwa ajali ya moto unaotekeza bunge la nchi hiyo .

Taarifa zinasema kuwa moto huo ulioanza mnamo saa 5:30 ulianza kwa kuonekana kwa moshi mzito na kisha ghafla ghorofa ya tatu ilionekana kukolea moto na kisha vyumba vya gym .

Bado vikosi vya moto vipo katika harakati na jitihada za kuuzima ,lakini hata hivyo chanzo Cha moto huo hakijajulikana mpaka sasa.

               Picha jinsi moto ulivyoanza 



No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.