Header Ads

LIVE 🔴: ADHA YA MAJI VIJIJINI

 

                            REPORT ZA SIKU 

 Video fupi kutoka Tanzania . Shida ya maji kijiji kimoja kilichopo Tanzania imefanya tukusogezee video hii . Wananchi wa kijiji hichi ambacho hatuwezi kuweka wazi jina lake wameendelea kulaumu hali ngumu ya ukame na shida ya maji wanayoipitia .

Hata hivyo wananchi hao wameendelea kulaumu kwa kile wanachokiita kutelekezwa . Unafikiri ni nini kifanyike kuongeza huduma ya maji vijijini ?


No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.