Header Ads

MFALME ZUMARIDI: MAWAKILI WAOMBA AHAMISHWE GEREZA

       MAHAKAMANI JIJINI MWANZA 


Mawakili wa Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi , wamewasilisha maombi kwa hakimu mkazi mahakama ya Mwanza Monica Ndyekobora kutaka mteja wao kuhamishwa gereza la Butimba kwa kuhofia usalama wake .


Mawakili hao wamewasilisha maombi hayo baada ya kuhofia usalama wa mteja wao kwa kile walichodai kuwa kuna njama za kutaka kuawa. Hakimu Monica Ndyekobora amewataka mawakili hao kufikisha malalamiko yao kwa uongozi wa gereza kuu la Butimba kwaajili ya hatua za uchunguzi . Hata hivyo Ndyekobora ameahirisha kesi hiyo hadi june 30 . 

 

    Jee ukiwa kama kijana tayari umejiunga na kampeni ya   kudhibiti ukatili wa kijinsia ? Mchongo ni (Smaujata) tuu tokomeza ukatili wa kijinsia na waziri mwenye dhamana  Doroth Gwajima .

                                  

                             Tangaza biashara yako nasi kwa kuongeza uwepo wa biashara yako online. Tutumie ujumbe wako kwenye form ya email yetu .

     


No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.