Header Ads

SITA WAFARIKI AJALI YA GARI CHAMWINO DODOMA

      KAMANDA WA POLICE DODOMA          ATHIBITISHA KUTOKEA KWA AJALI 


Kamanda wa jeshi la police mkoani Dodoma Martin Otieno amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu sita na majeruhi kadhaa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Manzase wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Ajali hiyo imetokea leo Julai 03 2022. 

  

Photo: Ajali ya gari chamwino 2022

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.