Header Ads

MIILI 19 KUAGWA LEO UWANJA WA KAITABA

 HABARI PICHA KUTOKA UWANJA WA KAITABA KATIKA KUAGA MIILI 19, AJALI YA NDEGE SHIRIKA LA PRECISION AIR 


Picha: Waombolezaji na wafiwa, kufuatia vigo vya watu 19 katika ajali ya ndege shirika la Precision Air. Picha hii imepigwa uwanja wa Kaitaba 07/11/2022 . 


Picha: Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) likiingia na miili ya marehemu katika uwanja wa Kaitaba kwaajili ya zoezi la kuagwa rasmi. Picha zilizopigwa na mpiga picha wa maelezo tv .  

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.