KIFO CHA HANS POPE

 


Timu ya soka nchini Tanzania simbasc imeondokewa na mjumbe wake wa bodi ya wakurugenzi  HANS POPE ambae amefariki leo hii jijini Dar es Salaam Tanzania. 

Aidha wadau mbalimbali wa soka wanaendelea kutoa salamu zao za pole kwa ndugu , jamaa , marafiki  na familia ya marehemu kwa msiba huu.

https://www.instagram.com/p/CTp1uI1jAa_/?utm_medium=copy_link.

Next Post Previous Post
sr7themes.eu.org