DIAMOND PLATNUMZ ATANGAZA RATIBA MPYA

 


Nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Diamond platnumz . Simba leo hii kupitia ukurasa wake wa instagram ameweza kuutangazia ulimwengu ratiba ya show zake ambazo zitakuwa  nchini marekani .

Hii itakuwa ni mara yake nyengine Tena kuendelea kufanya show nchini humo mfululizo. 

Baada  ya kipindi Cha miezi kadhaa iliyopita kufanya show nyingi marekani . Hatimae mwanamuziki huyo anarudi Tena kufanya show .


Next Post Previous Post
sr7themes.eu.org