Header Ads

BREAKING NEWS 🔴: 30 WAKAMATWA MJINI MAGHARIBI.

 

                           HABARI KAMILI 

Jeshi la police Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhimiwa wapatao 30 kwa tuhuma za makosa mbalimbali  ikiwemo wizi na kujifanya usalama wa Taifa .

Hata hivyo Yunus Nassor Ali (32) ni miongoni mwa watuhimiwa hao kwa kujifanya usalama wa Taifa.

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.