MUUNGANO.
Makamu wa Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Dkt philip Isdor Mpango katika kongamano la miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika leo tarehe 26/04/2021 ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Kauli mbiu " Muungano wetu ni msingi imara wa Mapinduzi ya uchumi, Tudumishe mshikamano wetu".
Post a Comment