Header Ads

WATU WENGI DUNIANI WANAUGUA NYONGEA

 


Kwa mujibu wa wataalamu mbalimbali wa afya na tiba lishe  ina  thibitishwa   kuwa watu wengi  wanaugua  nyongea  bila kujijua . 

Kwa kawaida ngozi ya mwanadamu haihitaji kuvutika sana Badala yake inahitaji kushikana na misuli vizuri kuunda umbo zuri la muonekano wenye siha .

Muangalie kwa makini mtoto mdogo wa miezi mitatu mwenye afya ngozi yake ilivyo . Haina,  chunusi , mikwaruzo wala kipele . Hii ni kutokana na uwepo wa virutubisho muhimu mwilini mwake .

Ukiangalia kwa makini karibu watu wazima wengi ngozi zao ukishika na kuzivuta basi huvutika kama mpira . Hii hutokan  na ukosefu na upungufu wa virutubisho muhimu. Unywaji maji hafifu na ulaji wa vyakula dhaifu .

Unafikiri ni kwanini watu wazima wengi huwa na afya ya ngozi dhaifu mbali na sababu tajwa hapo juu?


No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.