Header Ads

FAHAMU HISTORY YA KIWANDA CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI

               Sehemu ya kwanza 



VOLKSWAGEN.   Maana yake Gari la Wananchi  

 Makazi  makuu  yapo mjini Wolfsburg katika jimbo la  Saksonia .  Hata hivyo kiwanda Cha volkswagen huzalisha na kutengeneza magari mengine kama vile Bugatti, Lamborghini, skoda , Seat , audi na scania .

Kiwanda Cha volkswagen kilianzishwa  mwaka 1937 .   Baada  ya  aliyekuwa Kiongozi wa nchi ya Ujerumani wakati huo Adolf Hitler alipotaka gari nzuri ya bei nafuu ambayo kila muajiriwa wa kipato Cha chini angemudu kununua .

Ndio muhandisi Ferdinand Porsche alipoombwa kuunda gari la Bei nafuu . Umbo la mwanzo la gari alilounda lilisababisha gari kuitwa Kafer .

Kipindi Cha  mwaka  1939 mwanzoni kabisa kabla ya vita vya pili vya dunia kuanza, kiwanda kipya  kilijengwa  karibu zaidi na maeneo ya mashambani . Katika eneo linaloitwa Wolfsburg eneo maarufu hii leo .

Hitaji la magari ya kijeshi na vita kwaajili ya kuendesha vita kiwanda  kilibadili muundo wa magari  waliyokuwa wakiunda na kuanza kutengeneza magari ya kijeshi.

Baada  ya Ujerumani  kushindwa  katika vita kiwanda Cha volkswagen  kiliwekwa chini ya himaya ya  waingereza kabla ya mambo kubadilika  hapo baadae.

 Tukutane sehemu ya pili wiki ijayo .

http://www.volkswagen.com/.

No comments

Note: only a member of this blog may post a comment.

Powered by Blogger.