Ajali ya basi la sheraton watu saba wafa

Watu saba wafariki ajali ya basi la sheraton Mkoani geita . 

Ajali ya basi la sheraton

Geita: Kaimu  Kamanda wa Polisi  mkoa wa Geita, Kamishina  Msaidizi  wa Polisi (ACP) Berthaneema  Mlay  amethibitisha  kutokea kwa ajali iliyosababisha vifo vya watu saba huku wengine zaidi ya kumi wakijeruhiwa . 

Ni  katika ajali ya basi la abiria kampuni ya Sheraton lenye namba za usajili T922 ADC iliyotokea katika kijiji cha Mwilima kata ya Kasamwa mkoani Geita tarehe 07/03/2023. 

Next Post Previous Post
sr7themes.eu.org